TFF, TPLB SOGEZENI MACHO YENU CHAMPIONSHIP…

MWENDO wa Ligi Daraja la Kwanza umeongeza mvuto kwa kiasi kikubwa wakati ligi hiyo ikiwa inakwenda ukingoni.   Vinara ni DTB wakiwa na pointi 55 na inavyoonekana kama watashinda mechi zao mbili zilizobaki na kujikusanyia pointi sita, watakuwa na asilimia 95 ya kuwa tayari wamepanda hadi Ligi Kuu Bara.   Pointi 61 zinaonekana kuwa uhakika…

Read More

KAZI YA JOB ACHA

DICKSON Job, beki wa kati wa kikosi cha Yanga juzi alipiga kazi kwelikweli kwa kushirikiana na wahezaji wenzake ikiwa ni pamoja na Bakari Mwamnyeto,Yanick Bangala mbele ya Geita Gold. Beki huyo wa kati wakati Yanga ikitinga hatua ya nusu fainali aliyeyusha dk 90 na alikuwa ni mtengeneza mipango eneo la kati kwa kuwa pasi zilianzia…

Read More

MITETEMO YA MAYELE YATUMIKA KUITISHA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umetumia mitetemo ya Fiston Mayele kuwatisha wapinzani wao wajao kwenye ligi ambao watakuwa ni Simba. Yanga inaongoza ligi ina pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 bila kupoteza huku Simba ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 19. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa uwepo…

Read More

SIMBA HESABU ZAO KIMATAIFA ZIPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa akili zao ni kuelekea mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 17,2022 Simba itakuwa na mchezo wa kusaka ushindi dhidi ya Orlando Pirates Uwanja wa Mkapa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari,Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema…

Read More

YANGA WATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

YANGA inatinga hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa penalti 7-6 mbele ya Geita Gold. Dakika 90 zilikamilika kwa timu zote kufungana bao 1-1 katika mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho. Katika mchezo wa leo,Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ameonyeshwa kadi nyekundu na mwamuzi wa kati baada ya kupuliza kipyenga cha mwisho. Sasa Yanga…

Read More

UWANJA WA MKAPA: YANGA O-0 GEITA GOLD

DAKIKA 45 za burudani safi kabisa kutoka kwa timu zilizofanya maandalizi mazuri kutimiza kile ambacho wamepewa na benchi la ufundi. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 0-0 Geita Gold ikiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya robo fainali. Timu zote zinapambana kusaka ushindi huku umakini ukiwa ni tatizo kwenye kumalizia nafasi. Zawadi…

Read More

TETESI ZA USAJILI; IDUMBA NA SIMBA MAMBO SAFI

Simba sc na Cape Town City, zimefikia Makubaliano ya kuuziana Beki wa Kati raia wa DRC Congo Nathan Idumba Fasika, Uhamisho wa Nyota huyo unakadiliwa kukamilika mwishoni mwa msimu ili kumpa nafasi Idumba amalize kuitumikia Cape Town City kwa Msimu huu. kinachoendelea sasa ni Makubaliano binafsi na Beki huyo juu ya Mshahara wake na Simba…

Read More

SIMBA QUEENS WANATAKA ALAMA TATU

MENEJA wa Simba Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite (SWPL), Selemani Makanya, amesema wachezaji wamejiandaa vema kuikabili Ruvuma Queens katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea.   Akizungumza na Spoti Xtra, Makanya alisema: “Tunamshukuru Mungu tumefika salama, tumejiandaa vya kutosha kwa ajili ya mchezo huu, hakuna…

Read More

SAIDO AWASHUKURU NBC KWA TUZO

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ameishukuru Benki ya NBC kwa kutoa motisha kwa wachezaji, huku akiamini hiyo inasaidia kujituma zaidi uwanjani.   Saido aliyasema hayo baada ya hivi karibuni kupokea tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu Bara msimu huu sambamba na shilingi milioni moja kutoka kwa wadhamini wa…

Read More

ARTETA:TULIKUWA NA KILA KITU CHAKUSHINDA,SPIDI TATIZO

MABAO kutoka kwa Leandro Trossard dk 28 na Enock Mwepu dk 66 yaliweza kutosha kuipa pointi tatu Brighton mbele ya Arsenal. Ni bao la Martin Odegaard dk 89 Uwanja wa Emirates lilitosha kuwafuta machozi washika bunduki hao wanaonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Arteta amesema kuwa walikuwa wana kila kitu cha kuweza kushinda lakini haikuwa…

Read More