BEKI MCONGO APEWA MIL 144 YANGA

UNAAMBIWA Yanga SC ilimshusha kimyakimya beki raia wa DR Congo, Joyce Lomalisa Mutambala na kumpa mkataba wa miaka miwili, huku kwa mwezi akitarajiwa kulipwa shilingi milioni sita. Kwa muda wa miaka miwili akiwa anaitumikia Yanga, jumla atakuwa amepokea mshahara wa shilingi milioni 144 hadi kumalizika kwa mkataba wake. Mutambala anajiunga na Yanga akitokea Bravos do…

Read More

VIDEO:NAMNA DIARRA ALIVYOWEZA KULIA

KIPA namba moja wa Yanga,Diarra Djigui aliweza kuwaga machozi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid baada ya kumaliza kazi kuokoa penalti kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union ambapo Yanga ilishinda kwa penalti 4-1 baada ya dk 120 uao kusoma Yanga 3-3 Coastal Union

Read More

KOCHA MPYA SIMBA ANAAMINI WATASHINDA VITU VINGI

KOCHA mpya wa Simba,Zoran Manojlovic ameweka wazi kuwa anaamini kwamba atarejesha heshima ndani ya kikosi hicho atakapoanza kazi. Ilikuwa Mei 28 ambao Simba ilimtangaza Zoran kuwa kocha wa Simba akipokea mikoba ya Pablo Franco ambaye alifutwa kazi. Ilikuwa ni Mei 31 mwendo wa Pablo uligota ukingoni msimu wa 2021/22 baada ya kupoteza kwa kufungwa bao…

Read More

FAINALI FA,MAPUMZIKO:YANGA 0-1 COASTAL UNION

MCHEZO wa hatua ya nusu fainali, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa sasa ni mapumziko huku timu zote zikipambana kuweza kusepa na ushindi. Ubao unasoma Yanga 0-1 Coastal Union chini ya kocha mzawa Juma Mgunda. Bao la kuongoza kwa Coastal Union limepachikwa kimiani na Abdul Suleiman,’Sopu’ ambaye anafikisha mabao 7 kwenye Kombe la Shirikisho msimu…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA COASTAL UNION

MBELE ya Coastal Union kwenye mchezo wa fainali leo Julai 2,2022 kiungo Zawad Mauya ataanzia benchi pamoja na Mshery,Yassin,Bacca,Moloko,Kaseke,Nkane,Makambo na Ambundo. Kikosi cha kwanza ni Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Kahlid Aucho Sure Boy Feisal Salum, Chico Ushindi Fiston Mayele

Read More

SALAH AJIFUNGA LIVERPOOL

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Liverpool na Timu ya Taifa ya Misri Mohamed Salah ameongeza mkataba mpya wa miaka mitatu wa kuendelea kubakia katika klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya mersesyde. Salah amesaini mkataba huo unaotarajiwa kumalizika majira ya kiangazi mwaka 2025 huku akipokea kitita cha Paundi 350,000 ambayo ni sawa na zaidi ya Milioni…

Read More

KOCHA GEITA AFUNGUKA MPOLE KUTUA SIMBA, YANGA

KOCHA Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga. Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold…

Read More

YANGA KESHO KUIVAA COASTAL UNION

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa kesho wa hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union utakuwa mgumu lakini wapo tayari. Yanga inakwenda kumenyana na Coastal Union ikiwa imetwaa taji la Ligi Kuu Bara na pointi zake 74. Imeweza kutwaa taji hilo ikiwa haijapoteza na kesho inakwenda kupambana kusaka taji lingine la…

Read More