YANGA HAO KUIBUKIA MALI KAMILIKAMILI

BAADA ya kumaliza kete yao ya Ligi Kuu Bara Februari 22 kwa kusepa na pointi tatu mazima msafara wa Yanga umeanza safari kuelekea Mali. Februari 22 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma KMC 0-1 Yanga na kuipa pointi tatu Yanga ikiwa inaongoza ligi. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Clemnt Mzize akiwa ndani ya 18…

Read More

RUVU SHOOTING INAPAMBANA KUREJEA KWENYE UBORA

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwa sasa unapambana na hali waliyonayo kurejea kwenye ubora. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri kutokana na kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za ligi. Mchezo wake uliopita ilipoteza pointi tatu kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Geita Gold, Uwanja wa Nyankumbu mchezo wao ujao ni dhidi ya…

Read More

KMC 0-1 YANGA, LIGI KUU BARA

DAKIKA 45 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma KMC 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Kazi kubwa imefanyika kwa timu zote kusaka ushindi ambapo ni Yanga walikuwa wa kwanza kuwatungua KMC. Bao la uongozi limejazwa kimiani na Clement Mzize ambaye alimalizia pigo la kona lililomshinda mlinda mlango David Kissu.

Read More

MTIBWA SUGAR YAIVUTIA KASI SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji kituo kinachofuata kwa Mtibwa Sugar ni dhidi ya Singida Big Stars. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Maungu, Morogoro dakika 90 zilipokamilika timu hiyo ilisepa na pointi tatu. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Singida Big Stars mchezo unaotarajiwa kuchezwa Februri 27,2023 Uwanja wa Liti. Tayari…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA

BAADA ya Mzizima Dabi kukamilika Februari 21 na ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-1 Azam FC leo Ligi Kuu Bara inatarajia kuendelea. Ni mchezo wa wakusanya mapato KMC v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Yanga 1-0 KMC. Hivyo mchezo wa leo…

Read More

NGOMA NZITO KWA SIMBA, WAGAWANA POINTI NA AZAM

NGOMA nzito kwa Simba mbele ya Azam FC baada ya Mzizima Dabi kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1. Mchezo ulioshuhudia bao la mapema na bao la usiku kwa timu zote mbili huku wafungaji wote wakitoka ndani ya Azam FC. Ni Prince Dube alianza kuwatungua Simba dakika ya kwanza alipompa tabu Aishi Manula mpaka dakika…

Read More

SIMBA 0-1 AZAM FC

NI bao la mapema zaidi ndani ya Ligi Kuu Bara kupata kutunguliwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula na mtupiaji akiwa ni mshikaji wake anayempa mateso siku zote. Anaitwa Prince Dube hakuhitaji dakika mbili zaidi ya ile ya kwanza kupachika bao la uongozi dhidi ya Simba kwenye mchezo unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Moja ya…

Read More

KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala leo kinakazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Simba. Ongala alikiongoza kikosi hicho kwenye mzunguko wa kwanza kuitungua Simba na kusepa na pointi tatu mazima. Hiki hapa kikosi cha Azam FC dhidi ya Simba:- Idrissu Abdulai, Lusajo Mwaikenda, Nathaniel Chilambo,Daniel Amoah,Abdalah Kheri, Isah Ndala, Sospeter…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC UWANJA WA MKAPA

KIKOSI cha Simba leo kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Azam FC. Mchezo huo ni wa ligi ikiwa ni mzunguko wa pili na kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Aishi Manula, Shomari Kapombe, Kennedy Juma,Hennock Inonga,Sadio Kanoute,Pape Sakho, Mzamiru Yassin,John Bocco, Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama Akiba Beno, Israel, Outtara,Mkude,Kibu,Kapama,Baleke,Habibu, Phiri

Read More