IHEFU YATAMBULISHA MAJEMBE MAWILI MAPYA KUTOKA MSIMBAZI

NYOTA Nelson Okwa ambaye ni mali ya Simba kaibuka ndani ya kikosi cha Ihefu chenye maskani yake Mbeya, nyanda za juu Kusini. Hakuwa na msimu mzuri ndani ya Simba ingizo hilo jipya kutokana na kushindwa kuonyesha makeke uwanjani. Sababu kubwa ya kukwama kufanya vizuri ni kusumbuliwa na majeraha ambapo alitumia muda mwingi kupambania hali yake…

Read More

JEMBE JIPYA YANGA LAANZA MAZOEZI

BAADA ya kukamilisha usajili wake ndani ya kikosi cha Yanga, hatimaye kipa namba mbili wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameanza mazoezi. Ni Metacha Mnata ambaye alikuwa anakipga ndani ya Singida Big Stars iliyogotea nafasi ya pili hatua ya fainali kwenye Kombe la Mapinduzi 2023. Kwenye mchezo huo uliochezwa Januari 13, Mnata…

Read More

SIMBA WAREJEA KUAANZA NA MBEYA CITY KWA MKAPA

“TUMEREJEA kutoka kambi ambayo imekuwa na manufaa makubwa na kazi inaendelea kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika,” maneno ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya Simba, Ahmed Ally. Leo Januari 17,2023 kikosi hicho kimerejea kutoka Dubai ambapo kiliweka kambi kwa muda chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera…

Read More

MUDHATHIR MCHEZO WAKE WA KWANZA KATEMBEZA MIKATO

ALIWATEMBEZEA mikato Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara Januari 16,2023 mpaka mwamuzi akaonekana kumwambia hili ni onyo la mwisho ukizingua adhabu inakuhusu. Ni Mudhathir Yahya kwenye kiwango kizuri dhidi ya Ihefu ambao walikuwa wanajilinda muda wote na mwisho wakapoteza kwa kufungwa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Fiston Mayele. Kiungo huyo mkabaji alikuwa akicheza kwa…

Read More

UBORA WA WACHEZAJI WAIPONZA TANZANIA PRISONS

“TATIZO ni ubora wa wachezaji kwa wapinzani wetu jambo ambalo limetugharimu, ” maneno ya Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Patrick Odhiambo baada ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Azam FC 3-0 Prisons. Mchezo huo wa ligi ulitawaliwa na tambo za kutosha kwa pande zote mbili zikiweka wazi kwamba ni pointi tatu wanahitaji na…

Read More

USIKU WA KISASI YANGA YAWATUNGUA IHEFU

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ihefu watajilaumu wenyewe kwa kutunguliwa kwenye mchezo wa leo kutokana na makosa ambayo wameyafanya kipindi cha pili. Shukrani kwa Fiston Mayele ambaye alipachika bao pekee la ushindi dakika ya 63 akitumia makosa ya kipa wa Ihefu Fikirini Bakari kwenye…

Read More

JESHI LA YANGA V IHEFU HILI HAPA, MUSONDA BENCHI MUDA NDANI

KIKOSI cha Yanga kitakachoikabili Ihefu, Uwanja wa Mkapa, ingizo jipya Mudhathir Yahya ameanza kikosi cha kwanza huku Musonda akiwa benchi. Hiki hapa kikosi chenyewe:- DJIGUI Diarra Djuma Shaban Kibwana Shomary Job Mwamnyeto Mudhathir Yahya Sure Boy Jesus Moloko Fiston Mayele Farid Mussa Tuisila Kisinda Akiba Johola Bryson Lomalisa Bacca Ngushi Ambundo Mzize Musonda

Read More

JEMBE LINGINE LATAMBULISHWA MSIMBAZI

NI Mohammed Mussa amesajini dili la miaka mitatu kuitumikia Klabu ya Simba. Nyota huyo ametambulishwa rasmi Januari 16, 2023 baada ya kukamilisha usajili wake katika timu hiyo. Alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Malindi na sasa yupo ndani ya Simba. Ujumbe mfupi ambao wameuachia Simba wakimtabulisha wamesema Mohamed Muss ni mnyama.

Read More

SUALA LA KUSHUKA DARAJA LIPO, MUHIMU KUJIPANGA

KAZI kubwa kwa sasa kwa timu zote ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara, Championship na Ligi ya Wanawake ni kusaka ushindi. Ipo wazi baada ya mapumziko ya muda kutokana na ratiba mbalimbali tayari mambo yanaanza kurejea taratibu. Tunaona wale ambao walikuwa kwenye Kombe l Mapinduzi wamerejea na waliokuwa wakifuatilia wameshuhudia bingwa mpya. Hongera kwa Mlandege kwa…

Read More

METACHA NI NJANO NA KIJANI

KIPA Metacha Mnata ambaye ni kipa mzawa atkuwa ndani ya kikosi cha Yanga kinachopambana kutetea taji la ligi. Kipa huyo aliwahi kuitumikia Yanga kabla ya kukamilisha mkataba wake na kuachana naye kisha nafasi yake akaichukua Eric Johora. Johora hakuwa na mwendo mzuri ndani ya kikosi cha Yanga kwa kuwa hakuwa na uhakika wa kuanza kikosi…

Read More