SIMBA YAICHAPA COASTAL UNION, SAIDO ATUPIA

KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa Uhuru huku kikigotea nafasi ya pili vinara ni Yanga. Yanga ni namba moja kwenye msimamo wakiwa wamepata ushindi mbele ya Tanzania Prisons, Mbeya. Simba imekamilisha kazi yake kwa msimu wa 2022/23 ikiwa ni kupitia kwa Saido Ntibanzokiza aliyepachika mabao…

Read More

TANZANIA PRISONS YAPOTEZA MBELE YA YANGA

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Kwenye mchezo wa leo wa kufunga msimu wa 2022/23 Nasreddine Nabi kocha wa Yanga alianza na kikosi chote cha kazi ikiwa ni pamoja na Joyce Lomalisa, Djigui Diarra. Ni bao la Fiston Mayele dakika ya 33 na lile la pili likifungwa…

Read More

TANZANIA PRISONS 0-1 YANGA

FISTON Mayele anachojua ni kufunga mengine weka kando kambani ni mabao 17 kwenye Ligi Kuu Bara. Ubao wa Uwanja wa Sokoine unasoma Tanzania Prisons 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Bao hilo amepachika dakika ya 33 akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya Sure Boy. Yanga leo watakabidhiwa ubingwa wao wakiwa ardhi ya Mbeya,…

Read More

SURE BOY KAIBUKIA MBEYA

KIUNGO wa Yanga, Salim Aboubhakar, ‘Sure Boy’ ameibukia ndani ya Mbeya kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 akimpa mateso kipa wa Ligi Kuu Bara, Haroun Mandanda. Sure Boy ndani ya msimu wa 2022/23 alikuwa hajafunga bao wala kutoa pasi ya bao katika mechi 21 ambazo alicheza na kutumia dakika 1,363 kuvuja jasho uwanjani akiwa…

Read More

SIMBA: NTIBANZOKIZA ATAKUWA MFUNGAJI BORA

BOSI wa Simba kwenye idara ya Habari na Mawasiliano akiwa Ahmed Ally ameweka wazi kuwa suala lililobaki kwa sasa ni timu nzima kumsaidia Saido Ntibanzokiza kuwa mfungaji bora. Nyota huyo ametupia mabao 15 kwenye ligi ameachwa kwa bao moja na mfungaji namba moja Fiston Mayele ambaye yupo ndani ya Yanga akiwa na mabao 16. Leo…

Read More

VIGONGO VYA LIGI KUU BARA LEO HIVI HAPA

KIGONGO cha 30 kwa timu zote ndani ya Ligi Kuu Bara ni leo Juni 9,2023 mwisho wa ubishi kwenye vita ya ufungaji na zile ambazo zitacheza hatua ya mtoano. Kesi ya ubingwa imefungwa Yanga ni bingwa kwenye kiatu cha ufungaji bora Fiston Mayele wa Yanga anaongoza akiwa na mabao 16 na Saido Ntibanzokiza wa Simba…

Read More

WINGA HUYU MCAMERON KUIBUKIA SIMBA

INAELEZWA kuwa Klabu ya Simba ya Tanzania imefikia makubaliano ya kuinasa saini ya winga anayekipiga Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda Leandre Essomba Willy Onana. Timu hiyo kwa sasa inapambana kusuka upya kikosi hicho na tayari imeshaachana na kiungo Agustino Okra raia wa Ghana ambaye ndani ya ligi alitupia mabao manne. Simba inahitaji kuvunja rekodi…

Read More

WAZAWA KUPWA NA KUJAA KUFIKE MWISHO

WAZAWA ipo wazi kuwa hawajawa na msimu mzuri kutokana na rekodi kuwakataa ndani ya uwanja kwenye kila idara. Ni Yanga kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele raia wa DR Congo ni Clatous Chama wa Simba kinara wa pasi za mwisho. Mayele ametupia mabao 16 ndani ya kikosi cha Yanga na Chama pasi 14 sio hawa…

Read More

FEISAL NI AZAM FC MIAKA MITATU

FEISAL Salum, Zanzibar Finest anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa ndani ya Azam FC. Nyota huyo anaibuka ndani ya Azam FC akitokea Yanga ambapo alikuwa na mkataba unaogotea ukingoni 2024. Ni mkataba wa miaka mitatu amesaini ndani ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara pia Juni 12 itacheza fainali Kombe la Azam Sports Federation itakuwa dhidi…

Read More

DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU RUVU SHOOTING

UONGOZI wa Dodoma Jiji  FC umeweka wazi kuwa  mchezo wao wa mwisho dhidi ya Ruvu Shooting  unaotarajiwa kupigwa Juni  9 Uwanja wa Jamuhuri, Morogoro wataingia kwa tahadhari kuwakabili. Timu hiyo imekusanya pointi 34 baada ya kucheza mechi 29 nafasi ya 10 vinara ni Yanga wenye pointi 74 kibindoni. Yanga wao kete yao ya mwisho itakuwa…

Read More

MGHANA HUYU AINGIA ANGA ZA YANGA

COLLINS Opare nyota wa Dodoma Jiji anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuongeza makali kwenye safu ya ushambuliaji. Raia huyo wa Ghana ni miongoni mwa washambuliaji wenye mchango mkubwa ndani ya Dodoma Jiji akiwa ametupia kambani mabao 9. Kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo wakiwa ugenini bao pekee la ushindi…

Read More

ISHU YA FEI TOTO IMEFIKIA HAPA

IMEELEZWA kuwa Yanga na Feisal Salum wamekutana kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ambaye aliweka wazi kuwa angependa kuona mgogogoro baina ya taaisis na Fei Toto unamalizika. Rais Samia aliwaambia Yanga kwenye hafla ya pongezi ya kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika na kuwa washindi wa pili Juni 5 kuwa ni aibu kuwa kwenye…

Read More

MUONEKANO WA KOMBE JIPYA LA NBC

HILI hapa kombe jipya la NBC Premier League ambalo watakabidhiwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga. Leo Juni 7,2023 limezinduliwa kombe hilo mbele ya Waandishi wa Habari makao makuu ya benki hiyo, Posta. Yanga imetwaa taji hilo mara ya pili mfululizo ikiwa ni msimu wa 2021/22 na msimu huu pia wa 2022/23 lipo mikononi mwa…

Read More

YANGA WAPIGIWA GWARIDE LA HESHIMA

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwenye mchezo wao dhidi ya Mbeya City walipigwa gwaride la heshima. Gwaride hilo Yanga walipigiwa kabla ya mchezo wao wa mzunguko wa pili dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Dakika 90 zilikamilikwa kwa sare ya kufungana mabao 3-3 na kugawana pointi…

Read More