
AZAM FC YAFUNGA MSIMU KWA USHINDI DHIDI YA POLISI TANZANIA
AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 8-0 Polisi Tanzania ikiwa ni ushindi mkubwa kwa Azam FC msimu wa 2022/23. Pia ni rekodi ya ushindi mkubwa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 baada ya ubao kusoma Azam FC 8-0 Polisi Tanzania. Ni Prince Dube katupia kambani dakika ya 8, 15, 28, 56, Kipre…