JEMBE LA KAZI BADO LIPO AZAM FC

MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC bado utaendelea kuwepo hapo baada ya kuongeza kandarasi ya mwaka mmoja. Ni Idris Mbombo ambaye ana uwezo wa kufunga mabao akiwa nje ya 18 ama ndani ya 18 kwa wapinzani akiwa ndani ya uwanja. Ni shuhuda timu ya Azam FC ikigotea nafasi ya tatu huku Yanga wakitwaa ubingwa…

Read More

YANGA WANA JAMBO KUBWA LA MTIKISIKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unakuja mtikisiko kwenye suala la usajili kutokana na mipango makini waliyonayo. Chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi msimu wa 2022/23 Yanga ilikomba mataji yote ya ndani ikiwa ni Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na Azam Sports Federation. Katika anga la kimataifa Yanga safari yao kwenye Kombe la Shirikisho…

Read More

KIUNGO WA KAZI AMETUA AZAM FC

RASMI kiungo Djibril Sillah nyota wa Gambia ni ingizo jipya ndani ya Azam FC. Kiungo huyo anakuja kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho ambacho kimekosa ubingwa msimu wa 2022/23 ambao umekwenda Yanga. Taarifa rasmi iliyotolewa na Azam FC imeweka wazi kuwa wamefikia makubaliano na Klabu ya RS Berkane kumnunua kiungo huyo mshambuliaji Raia huyo wa Gambia…

Read More

NDOYE APEWA MKATABA AZAM FC

PAPE Malickou Ndoye nyota wa Azam FC ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kubaki ndani ya timu hiyo. Nyota huyo raia wa Senegal amekuwa na kazi kubwa katika timu hiyo ambayo imekamilisha ligi ikiwa nafasi ya tatu. Taarifa rasmi kutoka ndani ya Azam FC imeeleza kuwa nyota huyo ambaye ni beki kitasa bado yupo ndani ya…

Read More

KIUNGO HUYU APEWA DILI LA MIAKA MIWILI YANGA

MUDA wowote Yanga watatangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Kiungo huyo alijiunga na Yanga katika msimu uliopita akitokea Azam FC ambayo ilivunja naye mkataba. Yanga imepanga kuiboresha safu hiyo ya kiungo kwa ajili ya msimu ujao ambao wanakwenda kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika. Taarifa zinaeleza kuwa Yanga wamefikia…

Read More

SIMBA YAMFUATA MWAMBA HUYU

KLABU ya Simba imerudi tena ndani ya klabu ya Cotton Sports FC ya nchini Cameroon kwa ajili ya kuipata saini ya beki wa kati Che Fondoh Molane. Beki huyo ni kati ya wachezaji waliokuwa katika mipango ya kusajiliwa na Simba katika msimu huu katika kuiboresha safu ya ulinzi. Simba hivi karibuni ilitangaza kuachana na beki…

Read More

CV YA KOCHA MPYA YANGA IPO NAMNA HII

YANGA SC, imemtangaza Miguel Ángel Gamondi, kuwa kocha mpya wa timu hiyo akichukua mikoba ya Mtunisia, Nasreddine Nabi ambaye waliachana naye hivi karibuni baada ya mkataba wake kufikia tamati. Gamondi raia wa Argentina, anajiunga na Yanga akiwa mzoefu wa kufundisha soka Afrika kwa zaidi ya miaka 20, huku muda wake mwingi akiutumia kufundisha timu za…

Read More

KIPA SIMBA SAFARI YAKE SINGIDA FOUNTAIN GATE

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida Big Stars ambayo kwa sasa inaitwa Singida Fountain Gate. Ni Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida hii inapewa nafasi kubwa kumnasa. Kipa huyo alikuwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kilichopata ushindi…

Read More

MAYELE AIBUKA ATOA KAULI HII

MSHAMBULIAJI wa Yanga Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kutamka kuwa tuzo tano alizozishinda msimu uliopita wa 2022/23 zimethibitisha ubora wake, huku akiwashukuru viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu hiyo. Mshambuliaji huyo wa Yanga yupo Dar kwa sasa baada ya kuwa DR Congo alipokwenda katika majukumu ya timu ya taifa hilo, alikuwa kwenye kikosi kilichocheza dhidi…

Read More

MKUDE AFUNGUKA BAADA YA KUACHWA

MARA baada ya kutangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya Simba kwa msimu ujao, aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude amefunguka kuwa anawashukuru Simba kwa sapoti waliyompa katika kipindi chote cha maisha yake na kuwatakia kila la kheri. Mkude alitangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa msimu ujao juzi Alhamisi baada ya kumaliza mkataba…

Read More