BEKI WA KAZI SIMBA ATAJWA KUIBUKIA SINGIDA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba Joash Onyango anatajwa kuingia kwenye rada za Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida. Jioni ya Julai 8 2023 ilikuwa ikisambaa picha iliyokuwa inamuonyesha mtu aliyefanana na Onyango akiwa ameshika mkataba wa Singida Fountain Gate. Taarifa zinaeleza kuwa picha hiyo imevujisha na mmoja ya watu wanaohusika na…

Read More

JEMBE JIPYA LA KAZI LATAMBULISHWA SIMBA

AUBIN Kramo ambaye ni winga ametambulishwa kuwa ingizo jipya  ndani ya kikosi cha Simba kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Ni nyota kutoka Klabu ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast anaingia kwenye orodha ya nyota wapya watakaokuwa kwenye kikosi cha Simba. Huyu ni mchezaji wa pili kutambulishwa baada ya awali kuaza na Willy…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE FC NI ARUSHA

RASMI Klabu ya Singida Fountain Gate ya Singida imebainisha kuwa kambi yake itakuwa ni Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Taarifa rasmi iliyotolewa na Singida Fountain Gate FC imeeleza namna hii:”Tunapenda kuwataarifu wadau na mashabiki wa Singida Fountain Gate FC kwamba maandalizi ya msimu ujao kwa klabu yetu yatafanyikia jijini Arusha…

Read More

WATATU WATAMBULISHWA NDANI YA SIMBA

KATIKA maboresho ya benchi la ufundi kikosi cha Simba kimeongeza watu watatu Kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ni Corneille Hategekimana huyu ni kocha mpya wa viungo ndani ya Simba yeye ni raia wa Rwanda na amewahi kufanya kazi ndani ya Vipers. Pia Daniel Cadena ambaye alikuwa ndani ya Azam FC huyu atakuwa ndani ya…

Read More

BEKI HILI LA KAZI YANGA KUKUTANA NA THANK YOU

INAELEZWA kuwa beki wa kati wa kimataifa wa Yanga kutoka Mali, Mamadou Doumbia wakati wowote atapewa ‘Thank You’. Habari zinaeleza kuwa tayari Yanga imeshamalizana na beki huyo ikiwa na malengo ya kuingia sokoni kusaka mbadala wake. Beki huyo alisajiliwa Yanga dirisha dogo kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru na sasa Yanga watalazimika kuvunja…

Read More

VIDEO:SIMBA:ONANA NI USAJILI SAHIHI,UBORA WAKE

IKIWA ni usajili wa kwanza kutambulishwa kwa mashabiki wa Simba Willy Onana aliyetangazwa Jumanne, Dr shabiki wa Simb amebainisha kuwa ni moja ya wachezaji wazuri. Dr amezungumzia pia kuhusu watani zao wa jadi Yanga ambao nao wana hesabu za kufanya usajili mkubwa. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23

Read More

NYASA BIG BULLETS YATOSHANA NGUVU NA YANGA

KWENYE mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru wa Malawi timu zote mbili zimetoshana nguvu kwa kutofungana. Ubao umesoma Nyasa Big Bullets 0-0 Yanga ambapo Yanga walitumia asilimia kubwa wachezaji wa timu ya vijana. Kwenye mchezo wa leo kiungo Dennis Nkane alipata maumivu yalipolekea ashindwe kuendelea na mchezo huo lakini hali yake kwa sasa…

Read More

SIMBA YATANGAZA KOCHA MPYA

RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…

Read More

NYOTA WA YANGA WATAMBULISHWA GROUP LA WhatsApp

IMEFAHAMIKA kuwa Singida Fountain Gate tayari imefanikiwa kuwasajili nyota wawili kutoka Yanga, David Bryson na Dickson Ambundo ambao tayari wametambulishwa kwa wachezaji wenzao kupitia Group la WhatsApp. Tayari Ambundo amekutana na ‘Thank You’ Yanga baada ya kutangaza kuachana nao katika msimu ujao kutokana na mkataba wake kumalizika. Chanzo cha habari kutoka kwa mmoja wa viongozi…

Read More

HIZI HAPA SABABU YA SIMBA KUWEKA KAMBI UTURUKI

SIMBA wanatarajia kwenda Uturuki kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na mashindano ya ndani ikiwemo Azam Sports Federation (FA) 2023/24. Mataji hayo yote kwa msimu wa 2022/23 yalichukuliwa na watani zao wa jadi Yanga huku Simba ikipishana na mataji yote. Yanga iligotea nafasi ya kwanza kwenye…

Read More

MAPENDEKEZO BENCHI LA UFUNDI YAFUATWE KUEPUKA LAWAMA

HEKAHEKA za usajili kuelekea msimu mpya wa mashindano kwenye Ligi Kuu Bara zimeanza baada ya msimu wa mashindano wa 2022/23 kumalizika. Ipo wazi kuwa Yanga wamefanikiwa kubeba kila kombe kwenye mashindano ya ndani kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na lile taji la Kombe la Shirikisho la Azam. Timu zote iwe zile zinazoshiriki Ligi…

Read More

YANGA NDANI YA MALAWI SALAMA SALMIN

MSAFARA wa Yanga umewasili salama leo Julai 5 2023 kwa ajili ya mchezo maalumu wanaotarajia kucheza kesho Julai 6. Timu hiyo imepewa mualiko maalumu na Serikali ya Malawi ambapo ni kwenye mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Metacha Mnata, Clement…

Read More