
SIMBA:KUNA MASHINE ZINAKUJA, GAMOND ATUA DAR NA KIUNGO
SIMBA tulieni kuna mashine zinakuja, Gamondi atua Dar na kiungo hatari Yanga ndani ya Championi Jumamosi
SIMBA tulieni kuna mashine zinakuja, Gamondi atua Dar na kiungo hatari Yanga ndani ya Championi Jumamosi
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Simba Joash Onyango anatajwa kuingia kwenye rada za Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida. Jioni ya Julai 8 2023 ilikuwa ikisambaa picha iliyokuwa inamuonyesha mtu aliyefanana na Onyango akiwa ameshika mkataba wa Singida Fountain Gate. Taarifa zinaeleza kuwa picha hiyo imevujisha na mmoja ya watu wanaohusika na…
FUJO za usajili zinaendelea kwa ajili ya msimu ujao ni baada ya Yanga kumtumia tiketi ya Ndege, winga wa Klabu ya AS Maniema Union ya DR Congo, Maxi Mpia Nzengeli. Nzengeli ni kati ya wachezaji ambao walikuwepo katika mipango ya kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Winga huyo…
AUBIN Kramo ambaye ni winga ametambulishwa kuwa ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Ni nyota kutoka Klabu ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast anaingia kwenye orodha ya nyota wapya watakaokuwa kwenye kikosi cha Simba. Huyu ni mchezaji wa pili kutambulishwa baada ya awali kuaza na Willy…
RASMI Klabu ya Singida Fountain Gate ya Singida imebainisha kuwa kambi yake itakuwa ni Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Taarifa rasmi iliyotolewa na Singida Fountain Gate FC imeeleza namna hii:”Tunapenda kuwataarifu wadau na mashabiki wa Singida Fountain Gate FC kwamba maandalizi ya msimu ujao kwa klabu yetu yatafanyikia jijini Arusha…
KATIKA maboresho ya benchi la ufundi kikosi cha Simba kimeongeza watu watatu Kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ni Corneille Hategekimana huyu ni kocha mpya wa viungo ndani ya Simba yeye ni raia wa Rwanda na amewahi kufanya kazi ndani ya Vipers. Pia Daniel Cadena ambaye alikuwa ndani ya Azam FC huyu atakuwa ndani ya…
INAELEZWA kuwa beki wa kati wa kimataifa wa Yanga kutoka Mali, Mamadou Doumbia wakati wowote atapewa ‘Thank You’. Habari zinaeleza kuwa tayari Yanga imeshamalizana na beki huyo ikiwa na malengo ya kuingia sokoni kusaka mbadala wake. Beki huyo alisajiliwa Yanga dirisha dogo kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru na sasa Yanga watalazimika kuvunja…
IKIWA ni usajili wa kwanza kutambulishwa kwa mashabiki wa Simba Willy Onana aliyetangazwa Jumanne, Dr shabiki wa Simb amebainisha kuwa ni moja ya wachezaji wazuri. Dr amezungumzia pia kuhusu watani zao wa jadi Yanga ambao nao wana hesabu za kufanya usajili mkubwa. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23
TAMKO zito….Mayele afunguka hatma yake Yanga, Simba yashusha chuma kingine cha Rwanda ndani ya Championi Ijumaa
KWENYE mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru wa Malawi timu zote mbili zimetoshana nguvu kwa kutofungana. Ubao umesoma Nyasa Big Bullets 0-0 Yanga ambapo Yanga walitumia asilimia kubwa wachezaji wa timu ya vijana. Kwenye mchezo wa leo kiungo Dennis Nkane alipata maumivu yalipolekea ashindwe kuendelea na mchezo huo lakini hali yake kwa sasa…
RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…
BONDIA wa ngumi za kulipwa Bongo, Hassan Mwakinyo amefunguka kuhusu Twaha Kiduku ambaye naye pia ni bondia
IMEFAHAMIKA kuwa Singida Fountain Gate tayari imefanikiwa kuwasajili nyota wawili kutoka Yanga, David Bryson na Dickson Ambundo ambao tayari wametambulishwa kwa wachezaji wenzao kupitia Group la WhatsApp. Tayari Ambundo amekutana na ‘Thank You’ Yanga baada ya kutangaza kuachana nao katika msimu ujao kutokana na mkataba wake kumalizika. Chanzo cha habari kutoka kwa mmoja wa viongozi…
YANGA yashusha kiungo, winga, Onana rasmi Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
SIMBA wanatarajia kwenda Uturuki kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na mashindano ya ndani ikiwemo Azam Sports Federation (FA) 2023/24. Mataji hayo yote kwa msimu wa 2022/23 yalichukuliwa na watani zao wa jadi Yanga huku Simba ikipishana na mataji yote. Yanga iligotea nafasi ya kwanza kwenye…
HEKAHEKA za usajili kuelekea msimu mpya wa mashindano kwenye Ligi Kuu Bara zimeanza baada ya msimu wa mashindano wa 2022/23 kumalizika. Ipo wazi kuwa Yanga wamefanikiwa kubeba kila kombe kwenye mashindano ya ndani kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na lile taji la Kombe la Shirikisho la Azam. Timu zote iwe zile zinazoshiriki Ligi…
MSAFARA wa Yanga umewasili salama leo Julai 5 2023 kwa ajili ya mchezo maalumu wanaotarajia kucheza kesho Julai 6. Timu hiyo imepewa mualiko maalumu na Serikali ya Malawi ambapo ni kwenye mchezo maalumu wa kutimiza miaka 59 ya Uhuru. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Metacha Mnata, Clement…