
MERIDIANBET WATOA MSAADA MAKONGO DAR
Magwiji wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet imetembelea eneo la Makongo tawi la Mlalakua kwajili ya kutoa msaada wa vifaa vya usafi ambavyo vitasaidia kuimarisha usafi eneo hilo. Meridianbet mara kwa mara wamekua wakihakikisha wanarudisha fadhila kwenye jamii yao ambayo imewazunguka, Leo imekua ni zamu ya eneo la Makongo jijini Dar-es-salaam ambao ndio wamekua…