Live: Simba SC 1-1 Gaborone United, Uwanja wa Mkapa


FT: Simba SC vs Gaborone

Dakika 9 zimeongezwa

Uwanja wa Mkapa, Ligi ya Mabingwa Afrika

Dakika ya 90 Rushine anaokoa hatari

Dakika ya 88 Thathayaone Witnes njano kwa kumchezea faulo Anthon Mligo

Dakika ya 85 Kagoma anapiga faulo inaokolewa na mlinda mlango Thabo

Dakika ya 81 Iven Kamrepa ameonyesha kadi ya njano kwa kumchezea faulo Morice

Dakika ya 79 Mukwala anakutwa katika mtego wa kuotea

Dakika ya 78 Thomas Chideu in Omohiry Ramwagi out jea Gaborone United

Dakika ya 76 Camara anakwenda nje akiwa kwenye machela baada ya maumivu nafasi inachukuliwa na Yakoub Suleiman, Kibu Dennis in dakika ya 77 out Mpanzu

Dakika ya 72 Mutale in out Ahoua

Dakika ya 71 njano Camara

Dakika ya 70 Thabo Maponda jaribio lake linakwenda nje ya lango

Dakika ya 69 Katenda Gora anaokoa hatari

Dakika ya 68 Kapombe anarusha

Dakika ya 65 Kapombe anaokoa hatari

Dakika ya 57 Disele anapewa jukumu la kupiga penati baada ya Karamou kusababisha penati na anaonyeshwa kadi ya njano Chamou

 

Dakika ya 54 Jonathan Sowah anakwenda nje anaingia Steven Mukwala

 

Kagoma okoa hatari dakika ya 52

 

Dakika ya 52 Kapombe anarusha kuelekea lango la Gaborone United

 

Dakika ta 50 Jonathan Sowah anaonyeshwa kadi ya njano

 

Dakika ya 49 Jean Ahoua anakosa nafasi ya dhahabu akiwa na mpira

 

Dakika ya 47 Morice na Ahoua najaribio yao yanakwenda nje ya lango

 

Dakika ya 46 Gola Tatenda anampa pasi kipa Thabo

 

Dakika 45 Gaborone wanafanya mabadiliko Thabo Maponda anaigia Sheikh anatoka

 

Mapumziko

 

Simba SC 1-0 Gaborone United

 

Goooooal

 

Jean Ahoua anafunga goli la kuongoza kwa Simba SC dakika ya 45 zinaongezwa dakika 4

 

Simba SC wanapata penati…

 

Dakika ya 44 Jean Ahoua anapewa penati

 

Dakika ya 41 Sowah anafanya jaribio linaokolewa, Morice anachezewa faulo mwamuzi anaamua penati ipigwe faida kwa Simba SC dakika ya 42

 

Dakika ya 40 Gaborone United wanapiga pasi ndani ya 18 kunakuwa hakuna mchezaji wa timu yao

 

Dakika ya 39 Jonathan Sowah anakutwa katika mtego wa kuotea

 

Dakika ya 34 Camara anapewa huduma ya kwanza

 

Dakika ya 33 Sowah anacheza kwa Kamanyani

 

Dakika ya 32 Kamanyani anafanya jaribio la hatari kwa Simba SC linaokolewa na Camara

 

Dakika ya 31 Mligo anapoteza mpira

 

Dakika ya 30 Jean Ahoua anazuiwa

 

Dakika ya 29 mwamuzi Mohamed Mussa anamuonyesha kadi ya njano Alford Velaph kwa kumchezea faulo Morice

 

Dakika ya 29 nahodha wa Gaborone Disele anaokoa

 

Dakika ya 28 Thabo mlinda mlango wa Gaborone anaanzisha mashambulizi

 

Dakika ya 28 Morice anatoa pasi fupi kwa Mpanzu

 

Dakika ya 27 Gaborone wanafanya jaribio linakwenda nje ya lango

 

Dakika ya 25 Gaborone wanafanya jaribio linakwenda nje ya lango

 

Dakika ya 15 Simba SC wanapata kona

 

 

 

 

Na Lunyamadzo Mlyuka Mtunzi wa Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu anaripoti