Skip to content
Saturday, February 21, 2026
  • La Liga, Serie A, Epl na Bundesliga – vita ya ubingwa ni Moto LEO!
  • Siku ya Maokoto! Bundesliga, EPL, LaLiga na Serie A Leo
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • La Liga, Serie A, Epl na Bundesliga – vita ya ubingwa ni Moto LEO!
  • Siku ya Maokoto! Bundesliga, EPL, LaLiga na Serie A Leo
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • November
  • 18

November 18, 2025

  • Sports

Al Ahli Tripoli Yarudi na Mzigo: Yatupa Ofa ya Dola Milioni 2 kwa Feitoto

Saleh3 months ago01 mins

KLABU ya Al Ahli Tripoli ya Nchini Libya imetuma ofa nono zaidi kwenda Azam Fc kwa ajili ya kumsajili kiungo Faisal Salum ‘Feitoto’ ikiwa ni ofa ya pili baada ya ile ya awali ya Dola laki 8 kutupiliwa mbali. Miamba hiyo ya Libya safari hii imedhamiria kumng’oa kiungo huyo wa zamani wa Young Africans Sc…

Read More
  • Sports

Simba SC vs Petro Luanda Novemba 23,2025, Camara out

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

Simba SC vs Petro Luanda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Novemba 23,2025 ikiwa ni hatua ya makundi. Mchezo huo awali ulipangwa kuchezwa Novemba 22,2025 saa 1:00 usiku lakini ratiba ilibadilishwa. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally katika mchezo huo watamkosa kipa…

Read More
  • Sports

Yanga SC vs FAR Rabat CAF Champions League Novemba 22,2025 Dube nje ya msafara

Saleh3 months ago02 mins

Yanga SC vs FAR Rabat CAF Champions League Novemba 22,2025 maandalizi yanaendelea kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa huku msafara unaotarajiwa kuelekea Zanzibar leo Novemba 18,2025 hautakuwa na mshambuliaji Prince Dube ambaye atakuwa nje ya msafara. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari Yanga SC, Ali Kamwe alibainisha kuwa msafara wa Yanga…

Read More
  • Sports

Mashabiki Wameshtuka! Mechi za Leo Dau Lako Dogo, Unaondoka na Mshindo

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

Muda wa kutengeneza pesa na Meridianbet umefika leo kwani mechi nyingi za kufuzu Kombe la Dunia zipo nyingi. Tengeneza jamvi lako la ushindi hapa sasa na ujiweke kwenye nafasi ya washindi. Switzerland atakuwa ugenini dhidi ya Kosovo huku tofauti ya pointi kati yao ni 3 pekee, ambapo mwenyeji yeye yupo nafasi ya kwanza, huku mgeni…

Read More
  • Sports

Meridianbet Yafungua Mlango Mpya wa Ushindi na Msisimko Kupitia Clash 4 Ca$h

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

Kwa mara nyingine tena, Meridianbet imevunja mipaka ya burudani kwa kuzindua Clash 4 Ca$h Tournament, yakiwa ni mashindano makubwa ya kasino mtandaoni yenye zawadi zinazofikia zaidi ya TZS 1.5 Bilioni. Hii ni nafasi adimu kwa wapenzi wa michezo ya sloti kushindana, kufurahia, na kujinyakulia mamilioni kwa urahisi na uwazi wa hali ya juu. Mashindano haya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.