Skip to content
Saturday, February 21, 2026
  • La Liga, Serie A, Epl na Bundesliga – vita ya ubingwa ni Moto LEO!
  • Siku ya Maokoto! Bundesliga, EPL, LaLiga na Serie A Leo
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • La Liga, Serie A, Epl na Bundesliga – vita ya ubingwa ni Moto LEO!
  • Siku ya Maokoto! Bundesliga, EPL, LaLiga na Serie A Leo
  • Simba Yaomboleza Kifo cha Baba wa Abdulrazak Hamza
  • Taarifa Zote za Michezo Njoo Meridianbet Sport Portal

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • November
  • 15

November 15, 2025

  • Sports

Usipitwe na Kipute cha Kombe la Dunia leo – Beti na Shinda Sasa!

Saleh3 months ago02 mins

Leo hii ni nafasi yako sasa kutimiza zile ndoto zako ambazo uliziweka ndani ya muda mrefu na Meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Jisajili na utengeneze jamvi sasa. Greece atakichapa dhidi ya Scotland ambayo ipo nafasi ya 2 huku mwenyeji wake akiwa nafasi ya 3. Tofauti yao ni…

Read More
  • Sports

Azam FC yaipigia hesabu AS Maniema kimataifa

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa unaendelea na maandalizi kwa ajili ya mchezo wao wa kimataifa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika ambapo wataanzia ugenini. Azam FC saa 10:00 jioni watakuwa Uwanja wa De Martyrs kwenye kete yao ya kwanza katika anga la kimataifa ugenini Novemba 23,2025. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari…

Read More
  • Sports

Pitso Mosimane ndani ya ardhi ya Tanzania kwa mradi wa Yanga Soccer School

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

PITSO Mosimane kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns na Al Ahly amesema kuwa kuwafundisha watoto mpira ni jambo la lazima kwa kuwa huko ndiko wanatokea kuelekea katika timu za wakubwa. Usiku wa kuamkia Novemba 15,2025 Pitso aliwasili Bongo akitokea Afrika Kusini ikiwa ni mualiko rasmi kutoka Klabu ya Yanga SC ambayo inatarajia kuzindua mradi wa…

Read More
  • Sports

Ingia Kwenye Ulimwengu wa Ushindi Kupitia Trick or Treat Bonanza ya Meridianbet

Saleh3 months ago3 months ago02 mins

Halloween imewasili tena, huku Meridianbet ikizindua mchezo unaosisimua akili na kuongeza burudani na amasa ya kushiriki, Trick or Treat Bonanza. Huu si mchezo wa kawaida wa kasino, bali ni tukio kamili la msimu wa kutisha lililojaa zawadi, msisimko, na ladha halisi ya ushindi mkubwa. Ndani ya Haunted Candy Realm, kila mzunguko ni hadithi mpya ya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.