Steven Mukwala mambo bado Simba SC

Steven Mukwala msimu wa 2025/26 mambo bado magumu kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kukwama kufungua akaunti ya mabao. Ipo wazi kwamba Mukwala hajawa katika ubora ambao unahitajika kutokana na kukosa nafasi za kufunga anapopata nafasi kwenye mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025…

Read More

Azam FC hawataki utani wapya watano wanahitajika

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani msimu wa 2025/26 ambapo inatajwa kuwa katika dirisha dogo maboresho makubwa yatafanyika kwenye timu hiyo. Mchezo uliopita Azam FC ilikuwa ugenini kwenye ligi na ubao ulisoma Namungo FC 1-1 Azam FC. Timu hiyo pia imetinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika hivyo ina kazi kubwa katika mechi…

Read More