Breaking: Romain Folz afukuzwa Yanga SC

Romain Folz aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC kwenye mechi saba rasmi amefukuzwa Oktoba 18,2025 kwenye nafasi hiyo. Mara baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers, Yanga SC wametoa taarifa kuhusu kuvunja mkataba na Folz. Mchezo wa leo akiwa benchi baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Bingu-Malawi umesoma…

Read More

FT: Live: Silver Strikers 1-0 Yanga SC

FT: Silver Strikers 1-0 Yanga SC Zimeongezwa dakika 5 Dakika 90 Pacome anafanya jaribio halileti matunda Dakika ya 89 Maxi Nzengeli Dakika ya 88 Doumbia anakosa nafasi akiwa ndani ya 18 Dakika ya 80 Diarra anaokoa hatari Dakika ya 78 Duke anaingia anatoka Aziz Goooooal Dakika ya 76 Silver wnapata goli Mpira ulianza kwa mlinda…

Read More