Breaking: Romain Folz afukuzwa Yanga SC
Romain Folz aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC kwenye mechi saba rasmi amefukuzwa Oktoba 18,2025 kwenye nafasi hiyo. Mara baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers, Yanga SC wametoa taarifa kuhusu kuvunja mkataba na Folz. Mchezo wa leo akiwa benchi baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Bingu-Malawi umesoma…