Mchezaji bora Septemba ni Diarra wa Yanga SC

Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga SC amekaa langoni katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi Septemba. Katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 Diarra ameokoa hatari moja pekee ilikuwa katika mchezo dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine dakika ya 89 pigo la Vitalis Mayanga. Katika…

Read More