Times FM kutangaza mubashara Kagame Cup

Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo…

Read More

MZUNGUKO MMOJA, BONASI KUBWA UKISHIRIKI ZOMBIE APOCALYPSE

Kwenye kasino mtandaoni, msisimko ni sehemu ya mchezo. Lakini Meridianbet imechukua msisimko huo hatua moja mbele na kuleta Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, tukio linalowashirikisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa michezo na ushindi wa bure. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wanahamasishwa kujiunga na Zombie Apocalypse, mchezo unaochanganya adrenalin na mikakati ya ushindi. Lakini hapa,…

Read More