Matokeo EPL: Crystal Palace 2-1 Liverpool, Chelsea Apoteza, Man City 5-1 Burnley: Haaland afunga double

Mabingwa watetezi, Liverpool, wamepoteza 2-1 dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Selhurst Park, huku Chelsea ikishindwa 3-1 nyumbani Stamford Bridge.

Kwingineko, Erling Haaland amefunga magoli mawili wakati Manchester City ikiibamiza Burnley 5-1 kwenye dimba la Etihad.

Matokeo kamili:

Chelsea 1-3 Brighton

  • 24’ Enzo Fernández ⚽

  • 77’ Danny Welbeck ⚽

  • 90+2’ De Cuyper ⚽

  • 90+10’ Danny Welbeck ⚽

Crystal Palace 2-1 Liverpool

  • 09’ Ismaïla Sarr ⚽

  • 87’ Federico Chiesa ⚽

  • 90+7’ Eddie Nketiah ⚽

Manchester City 5-1 Burnley

  • 12’ Esteve (og) ⚽

  • 61’ Matheus Nunes ⚽

  • 65’ Esteve (og) ⚽

  • 90’ Erling Haaland ⚽

  • 90+3’ Erling Haaland ⚽

  • 38’ Anthony ⚽ (Burnley)

Leeds United 2-2 Bournemouth

  • 37’ Rodon ⚽

  • 54’ Longstaff ⚽

  • 26’ Semenyo ⚽

  • 90+3’ Kroupi ⚽