Matokeo EPL: Crystal Palace 2-1 Liverpool, Chelsea Apoteza, Man City 5-1 Burnley: Haaland afunga double

Mabingwa watetezi, Liverpool, wamepoteza 2-1 dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Selhurst Park, huku Chelsea ikishindwa 3-1 nyumbani Stamford Bridge. Kwingineko, Erling Haaland amefunga magoli mawili wakati Manchester City ikiibamiza Burnley 5-1 kwenye dimba la Etihad. Matokeo kamili: Chelsea 1-3 Brighton 24’ Enzo Fernández ⚽ 77’ Danny Welbeck ⚽ 90+2’ De Cuyper ⚽ 90+10’…

Read More