Live: Yanga SC 2-0 Wiliete SC, Ligi ya Mabingwa Afrika

Kipindi cha pili

FT: Yanga SC 2-0 Wiliete

Yanga SC imeshinda mabao 2-0 dhidi ya Wiliete,  mabao ya Pacome Zouzoua na Aziz Andambilwe.  Wanasonga mbele hatua ya pili kwa jumla ya mabao 5-0.

Goooooal

Dakika ya 85 goal Aziz Andambilwe

Dakika ya 85 Chikola anapiga kona

Dakika ya 85 Pacome anatoka anaingia Offen Chikola

Dakika ya 83 Kibwana anaokoa hatari

Dakika ya 83 Bacca anaokoa hatari ndani ya 18

Dakika ya 77 Kibwana anacheza faulo

Dakika ya 76 Bacca anapiga pasi ndefu kumfuata Boka anayekutwa katika mtego wa kuotea

Dakika ya 75 nahodha wa Wiliete anaonyeshwa kadi ya njano

Dakika ya 74 Duke Abuya anakwenda benchi anaingia Kouma

Dakika ya 72 Boyel of target

Goooooal

Dakika ya 70 Pacome anafunga goal kwa mguu wa kulia

Dakika ya 31 Chikola anapiga kona

Dakika ya 67 mwamuzi anampa onyo kocha wa Yanga SC Romain Folz

Dakika ya 62 anafanya jaribio linaokolewa, dakika ya 63 anakutwa katika mtego wa kuotea Boyel

Dakika ya 61 Boyel anakutwa katika mtego wa kuotea

Dakika ya 60 Dube anatoka anaingia Boyel

Dakika ya 60 Dube anafanya jaribio akiwa nje kidogo ta 18 linaokoleea ba kipa wa Wiliete

Dakika ya 59 Yanga SC wanakutwa katika mtego wa kuotea

Dakika ya 58 Boka anatibua mipango ya Wiliete akiwa karibu na kona ya bendera

Dakika ya 57 Wiliete wanaanza kujipanga kutokea kwa kipa kuelekea lango la Yanga SC

Dakika ya 56 Aziz anacheza faulo

Dakika ya 55 kipa wa Wiliete anaokoa jaribio la Yanga SC

Dakika ya 52 Dube anapoteza pasi

Dakika ya 51 Bika anachezewa faulo

Dakika ya 51 Duke anacheza faulo

Dakika ya 50 Boka anapoteza pasi

Dakika ya 49 Wiliete wanaokoa hatari

Dakika ya 48 Kibwana anapiga krosi kwa Pacome anampa Dube Wiliete wanaokoa

Dakika ya 47 mchezaji wa Wiliete anaokoa hatari

Dakika ya 45 Offen Chikola anaingia anatoka Mudathir Yahya

Septemba 27 2025

Uwanja wa Mkapa

Yanga vs Wiliete

Dakika 45 zimekamilika zimeongezwa dk 3

Boka rusha dk 45

Dk 44 Maxi chexewa faulo

Dk 42 Kibwana save

Diara save dk 39

Dakika ya 37 Pacome piga kona

Dakika ya 37 Duke on target

Dakika ya 35 Bacca save

Dakika ya 31 Duke anapoteza pasi

Dakika ya 31 Andambilwe anapiga faulo

Dakika ya 31 Pacome anachezewa faulo

Dakika ya 30 Pacome anachezewa faulo

Dakika ya 29 Maxi anapiga faulo

Dakika ya 29 Maxi anachezewa faulo

Dakika ya 29 Yanga wanapata kona

Dakika ya 28 Wiliete wanaokoa hatari ndani ya 19

Dakika ya 24 Maxi piga kona

Dakika ga 23 Pacome miss chance

Dakika ya 22 Maxi piga kona

Dakika ya 21 Maxi piga kona

Dakika ya 21 Maxi miss Chance

Kutoka Uwanja wa Mkapa, Lunyamadzo Mlyuka Mtunzi wa Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu anaripoti.