Europa League Moto Kuchemka, Salzburg vs Porto: Nani Ataendelea na Moto wa Ushindi?

Mashabiki wa soka duniani wanajiandaa kwa usiku wa burudani barani Ulaya, ambapo michuano ya Europa League msimu wa 2025/26 inaendelea kwa kishindo. Viwanja mbalimbali vitafurika kwa kelele, tambo na matumaini, huku timu mahiri zikichuana. Kwa wabashiri, Meridianbet imeweka odds kubwa kukupa nafasi ya kuvuna ushindi. Mchezo wa kuvutia unatarajiwa kuchezwa Villa Park, ambapo Aston Villa…

Read More

Cheza Aviator Ushinde Samsung A26 Mpya!

Meridianbet Inawaletea Wachezaji Fursa ya Ushindi wa Kipekee. Meridianbet, kampuni inayoongoza katika michezo ya kasino na kubashiri mtandaoni, inawapa wateja wake fursa ya kipekee ya kushinda Samsung A26 mpya mwezi huu kupitia mchezo wa kisasa wa Aviator. Kampeni hii inawalenga wachezaji wote wanaotaka msisimko wa kubashiri, burudani ya kipekee na nafasi ya kushinda zawadi kubwa….

Read More

Simba SC vs Fountain Gate kupigwa Uwanja wa Mkapa

SELEMAN Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 25 2025. Huu unakuwa mchezo wa kwanza kwa Simba SC msimu wa 2025/26 kwenye ligi ambayo imeanza kasi Septemba 17 kwa mechi za ushindani kuendelea ndani…

Read More