Skip to content
September 17, 2025
  • Simba SC watimka Dar asubuhi tu baada ya kupoteza Kariakoo Dabi
  • Yanga SC yakwea pipa baada ya kumalizana na Simba SC
  • Yanga SC yatwaa taji la Ngao ya Jamii mbele ya Simba SC
  • Yanga SC 1-0 Simba SC, Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 17

September 17, 2025

  • Sports

Simba SC watimka Dar asubuhi tu baada ya kupoteza Kariakoo Dabi

Saleh2 hours ago02 mins

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids asubuhi ya Septemba 17 2025 kimeanza safari ya kuelekea nchini Botswana kwa kupitia nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone FC. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumamosi hii Septemba 20 huko Botswana kabla ya…

Read More
  • Sports

Yanga SC yakwea pipa baada ya kumalizana na Simba SC

Saleh2 hours ago02 mins

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz wamekwea pipa kuelekea Angola kwa mechi ya kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 16 2025 saa 11:00 jioni, Yanga SC walikuwa na kazi kutetea taji la Ngao ya Jamii katika mchezo wa fainali dhidi ya Simba SC…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.