ZIMEBAKI SIKU MBILI KARIAKOO DABI KWA MKAPA

ZIMEBAKI siku mbili kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC walitwaa taji hilo kwa ushindi kwenye mchezo wa fainali mbele ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Simba SC iligotea kuwa mshindi wa…

Read More

TFF YATANGAZA VIINGILIO NGAO YA JAMII SIMBA VS YANGA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, Septemba 16, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF leo Septemba 14, 2025, kiingilio cha…

Read More