ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake,…

Read More

SIMBA SC YATAMBIA KIKOSI IMARA

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa una kikosi imara na chenye uwezo wa kuleta ushindani kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika. Septemba 10 2025 ilikuwa ni kilele cha tamasha la Simba Day, Uwanja wa Mkapa na ilikuwa ni Full House baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kuujaza uwanja na kushangilia mwanzo mwisho. Katika tamasha hilo…

Read More