YANGA SC 1-0 BANDARI

YANGA SC imepata ushindi mbele ya Bandari katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo umekamilika dakika 90 kwa ushindi wa bao 1-0 ambalo limedumu mpaka mwisho wa mchezo kirafiki. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo Ecua dakika ya pili kwa pigo la kichwa akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya…

Read More

KIKOSI CHA YANGA SC MBELE YA BANDARI

Kikosi cha Yanga SC dhidi ya Bandari FC mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mkapa Septemba 12 2025 ikiwa ni kilele cha Wiki ya Mwananchi. Djigui Diarra, Israel Mwenda, Farid Mussa, Bakari Mwamnyeto. Assink, Aziz Andambwile, Maxi Nzengeli. Kouma, Prince Dube, Shekhan, Ecua hawa wameanza kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Aboutwalib Mshery, Ibrahim Bacca,…

Read More