KIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA

IKIWA imebaki siku moja kabla ya tukio la Yanga Day kufanyika, kiungo mpya katika timu hiyo amejipa kazi nyingine ngumu ili awe imara zaidi. Ikumbukwe kwamba Septemba 12, Yanga SC wamechagua kuwa na tukio la utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2024/25.  Offen Chikola ambaye huyu ni ingizo jipya akitokea…

Read More