
TANZANIA YAVUNA POINTI MOJA MBELE YA CONGO
HEMED Suleiman, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ameweka wazi kuwa hawakucheza vizuri kama ambavyo walitarajia katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya timu ya taifa ya Congo Brazzaville . Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Alphonce Masamba Debat ulisoma Congo Brazzaville 1-1 Tanzania. Ni…