KIPA SIMBA SC KUIBUKIA FOUNTAIN GATE

INATAJWA kuwa baada ya kipa namba mbili wa Simba SC kukutana na Than You Septemba 5 2025 kuna uwezekano akaibukia ndani ya Fountain Gate. Ni Ally Salim ambaye kwa msimu wa 2024/25 alikuwa chaguo la pili kikosi cha Simba SC na namba moja alikuwa ni Moussa Camara. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Salim alianza…

Read More