Skip to content
August 25, 2025
  • YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI
  • JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, JEMBE HILI KAMILI
  • CHAN 2024: SUDAN YAING’OA ALGERIA KWA PENALTI, YATINGA NUSU FAINALI
  • YANGA YAZINDUA JEZI MPYA MSIMU WA 2025/2026

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • August
  • 25

August 25, 2025

  • Sports

YANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI

Saleh47 minutes ago02 mins

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC wameanza kupiga hesabu kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC. Mchezo huo unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuwa na ushindani ndani ya dakika 90 kwa wababe hao katika uwanja kusaka ushindi. Inaelezwa kuwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga SC, raia wa Ufaransa, Romain Folz…

Read More
  • Sports

JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, JEMBE HILI KAMILI

Saleh58 minutes ago02 mins

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC raia wa Ghana, Jonathan Sowah anatarajiwa kuukosa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC utakaopigwa Septemba 16 2025, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mchezo huo wa Ngao ya Jamii ni maalumu kwa ajili ya kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.