ATLETICO MADRID KUTAFUTA NAFUU BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO ULIOPITA, BUNDESLIGA, SERIE A, EPL KITAWAKA!
Ushindi mnono upo Jumamosi ya leo na kampuni kubwa ya ubashiri ya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako lenye mechi nyingi sana huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakusubiri. Napoli, City, Barcelona na wengine kibao wanakungoja. BUNDESLIGA kule Ujerumani kuendelea Bayer Leverkusen chini ya Ten Hag watamleta nyumbani kwao TSG Hoffenheim ambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS…