SIMBA SC KUMTAMBULSHA MSHAMBULIAJI MWALIMU

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC umekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu. Nyota huyo anatajwa kuwa muda wowote atajiunga na kikosi cha Simba SC, Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26. Kikosi cha Simba SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kinaendelea na maandalizi ya msimu mpya…

Read More

AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA

AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani. Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na…

Read More