MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA

MASTAA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Romain Folz Agosti 19 2025 walikuwa kwenye mazoezi maalumu katika fukwe za Coco Beach Dar kwa lengo la kusaka pumzi na kuwa imara zaidi. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika. Msimu wa 2024/25…

Read More

SIMBA SC KUMTAMBULSHA MSHAMBULIAJI MWALIMU

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC umekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu. Nyota huyo anatajwa kuwa muda wowote atajiunga na kikosi cha Simba SC, Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26. Kikosi cha Simba SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kinaendelea na maandalizi ya msimu mpya…

Read More

AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA

AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani. Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na…

Read More

EXPANSE TOURNAMENT, KASINO YA MERIDIANBET INAZIDISHA JOTO LA USHINDI

Mjini kote gumzo ni moja tu, Expanse Tournament kutoka Meridianbet. Promosheni hii ya kasino mtandaoni imekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa michezo ya kasino, ikiwa na zawadi kemkem, bonasi nyingi za kasino, mizunguko ya bure, na kubwa Zaidi, TZS 1,000,000 taslimu inashindaniwa. Promosheni hii ilianza rasmi 16.08.2025 na itadumu hadi 31.08.2025. Hii ndiyo nafasi yako…

Read More