TANZANIA 2-1 MADAGASCAR, ROBO FAINALI CHAN 2024 REKODI MPYA
TIMU ya taifa ya Tanzania imeandika rekodi mpya kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika CHAN 2024. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar umefungua njia kwa Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Suleiman. Mabao ya Tanzania yote mawili yamefungwa na Clement Mzize dakika ya 13 na 20 huki bao la Madagascar…