Skip to content
Thursday, June 4, 2026
  • Nani Atabeba Kombe la Dunia? Mataifa Makubwa Yajipanga
  • Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge
  • Cape Verde na Curaçao Waingia Kwenye Historia ya Kombe la Dunia la FIFA 2026
  • Mechi za Tanzania Dhidi ya Uganda na Rwanda Zafutwa Morocco

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Nani Atabeba Kombe la Dunia? Mataifa Makubwa Yajipanga
  • Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge
  • Cape Verde na Curaçao Waingia Kwenye Historia ya Kombe la Dunia la FIFA 2026
  • Mechi za Tanzania Dhidi ya Uganda na Rwanda Zafutwa Morocco

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • July
  • 26

July 26, 2025

  • Sports

DILI LA FEISAL SALUM GUMU KWELIKWELI, NAMBA SITA KIVUMBI

Saleh10 months ago01 mins

DILI la kiungo wa Azam FC Feisal Salum kuibukia ndani ya kikosi cha Simba SC ni gumu kutokana na mkataba wake uliobaki na gharama za uhamisho ambazo zipo. Ilikuwa inaelezwa kuwa Feisal anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ilianza hivyo tangu dirisha dogo la msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba miongoni mwa viungo wazawa…

Read More
  • Sports

NAMBA 8 MPYA WA YANGA SC LASSINE ANATAKA KUTEMBEZA 5 G

Saleh10 months ago10 months ago01 mins

LASSINE Kouma kapewa jezi namba 8 ambayo iliwahi kuvaliwa na mastaa wakubwa katika kikosi hicho akiwemo Haruna Niyonzima kiungo aliyekuwa anafanya watu wadhani mpira ni kazi rahisi. Kouma mwenye miaka 21 anazima dili la Yanga SC kuiwinda saini ya Feisal Salum wa Azam FC ambaye ana nguvu kubwa katika mguu wake wa kulia. Katika Ligi…

Read More
  • Sports

FULHAM VS FOREST, MONACO VS BIELEFELD… BASHIRI SASA NA USHINDE!

Saleh10 months ago10 months ago03 mins

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet, wanasema kuwa leo hii ndio nafasi nzuri ya wewe kuondoka na ushindi mkubwa kwani zaidi ya timu 100 zipo uwanjani leo hivyo anza mapema safari yako ya ushindi sasa. Fulham FC atamenyana vikali dhidi ya Nottingham Forest ambao hawa wote wanakipiga kule Uingereza EPL. Mara ya mwisho kukutana hawa wawili,…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.