DILI LA FEISAL SALUM GUMU KWELIKWELI, NAMBA SITA KIVUMBI
DILI la kiungo wa Azam FC Feisal Salum kuibukia ndani ya kikosi cha Simba SC ni gumu kutokana na mkataba wake uliobaki na gharama za uhamisho ambazo zipo. Ilikuwa inaelezwa kuwa Feisal anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ilianza hivyo tangu dirisha dogo la msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba miongoni mwa viungo wazawa…