KAPOMBE AMWAGA WINO SIMBA, AJIPANGA KWA MSIMU MPYA

Shomari Kapombe anaripotiwa kuwa tayari amekubaliana na klabu ya Simba kuhusu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi, licha ya mkataba wake wa awali kumalizika rasmi Juni 30, 2025. Vyanzo vya kuaminika kutoka ndani ya klabu vinadai kuwa hakuna presha yoyote baina ya pande hizo mbili, na kwamba mkataba mpya upo tayari na…

Read More

YANGA SC KUTIKISA USAJILI 2025/26

MABOSI wa Yanga SC inaelezwa kuwa wamedhamiria kulipa kisasi baada ya watani zao wa jadi kuanza kuwatikisa kwenye suala la usajili kuelekea msimu wa 2025/26. Kete ya kwanza kwa Yanga SC kushinda ilikuwa kuinasa saini ya Balla Conte ambaye tayari ametambulishwa Yanga SC kwa kandarasi ya miaka miwili. Mchezaji huyo inatajwa kuwa Simba SC walikuwa…

Read More

ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen msimu wa 2024/25 kuna uwezekano mkubwa akaibukia ndani ya kikosi cha Yanga SC akiwa ni mchezaji huru. Ikumbukwe kwamba Zimbwe aliongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC mwaka 2023 tayari 2025 umefikika tamati Julai 10 2025 hivyo kwa sasa mchezaji huyo ni huru. Julai 19 2025, Zimbwe Jr…

Read More