
FAINALI YA NDOTO: CHELSEA NA PSG KUIWEKA BIZE DUNIA LEO USIKU
Ilianza kama ndoto ya mbali. Wiki kadhaa zilizopita, Chelsea walikuwa wakijaribu kutengeneza mwelekeo mpya, huku PSG wakisaka uthibitisho wa ubabe wao duniani. Sasa, usiku wa leo, ndoto hizo mbili zitagongana uwanjani kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, mchezo mmoja wa mwisho wa kuamua nani anabeba historia, na nani anabaki na “tulipambana sana.” Ni…