KIUNGO WA KAZI YANGA SC KUONDOKA

KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga SC, Clatous Chama yupo kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Klabu ya Zesco United ambayo nahitaji huduma yake. Julai Mosi 2024, Chama alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo imegota mwisho. Inaelezwa kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake ila kuna vipengele…

Read More