SIMBA SC KUPIGA PANGA MASTAA WAKE

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids inaelezwa kuwa kwenye mpango wa kuachana na mastaa wake zaidi ya watano kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Simba SC imemaliza ligi ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo. Pointi 78 baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700. Safu ya ushambuliaji imefunga mabao 69 ikiwa namba mbili kwa timu…

Read More

JULAI IMEWASILI NA SAMSUNG GALAXY A25 MPYA KABISA

Julai hii, Meridianbet imeamua kukufurahisha kwa promosheni ya kipekee itakayobadilisha maisha ya wabashiri wa meridianbet. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai 2025, watumiaji wote waliosajiliwa kupitia tovuti au app ya Meridianbet wanapata nafasi ya kuingia kwenye droo maalum na kushinda moja kati ya simu tano mpya aina ya Samsung Galaxy A25. Ni promosheni inayowalenga wachezaji…

Read More