YANGA SC KINATOKA CHUMA KINAINGIA CHUMA

RAIS wa Yanga SC, Hersi Said ameweka wazi kuwa kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi kinatoka chuma kinaingia chuma. Juni 29 2025, Yanga SC ilitwaa taji la CRDB Federation Cup kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Walirejea Dar, Juni 30…

Read More

SIMBA SC: TUTARUDI TUKIWA IMARA

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr ameweka wazi kuwa watarejea msimu ujao wa 2025/26 wakiwa imara kwenye kupambania mataji ambayo watashiriki kwenye mechi za ushindani msimu mpya. Ipo wazi kwamba msimu wa 2024/25 Simba SC imepishana na mataji yote iliyokuwa ikipambania. Kombe la CRDB Federation iligotea hatua ya nusu fainali ikiodolewa na Singida Black Stars iliyopoteza fainali…

Read More