SIMBA SC VS SINGIDA BLACK STARS KESHO MEI 31

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, kesho Mei 31 2025 watakuwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kwenye msako wa ushindi. Ni mchezo wa hatua ya nusu fainali CRDB Federation Cup inawakutanisha wababe hao waliotoka kuvaana kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Katika mchezo huo uliochezwa Mei 28 2025 baada ya dakika…

Read More