
MSHAMBULIAJI WA MABAO YANGA SC KWENYE RADA ZA MABOSI AFRIKA
MSHAMBULIAJI wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Misri ambao wanahitaji saini yake. Mzize ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud kafunga mabao 13 msimu wa 2024/25 akiwa ni mzawa namba moja kwa washambuliaji wenye mabao mengi. Taarifa zinaeleza kuwa…