Simba SC 1-0 Singida Black Stars, Mei 28 2025

Simba SC imevuna pointi tatu kwenye mchezo wa ligi mzunguko wa pili dhidi ya Singida Black Stars, Mei 28 2025, Uwanja wa KMC Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC 1-0 Singida Black Stars ikiwa ni mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili. Bao pekee la ushindi limepachikwa na Steven Mukwala…

Read More

SIMBA SC vs SINGIDA BLACK STARS VITA YA POINTI TATU

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars wanatambua utakuwa ni mgumu kutokana na uimara wa wapinzani wao ila wapo tayari kupambana kupata pointi tatu muhimu. Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids imetoka kucheza mechi mbili za fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane…

Read More

GATES OF OLYMPIA SASA LIVE KWENYE MERIDIANBET – HII SI KAWAIDA, NI FURSA YA KISHINDO!

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee unaoitwa GATES OF OLYMPIA, mchezo ambao umewasha moto Ulaya na sasa umefika Tanzania kupitia jukwaa lako pendwa, Meridianbet! ⚡ NI NANI ATAKAYEPITA KATIKA MILANGO YA OLYMPIA NA KUSHINDA MAMILIONI? Mchezo huu unakupeleka katika ulimwengu wa Miungu wa Kigiriki ambapo mungu wa…

Read More