KIKOSI CHA RS BERKANE DHIDI YA SIMBA SC

RS Berkane kutoka Morocco itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kwenye mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba SC ya Tanzania, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:-  Munir El Kajoui  Hamza Moussaoui  Adil Tahif  Yassine Lebhiri  Issoufou Dayo  Mamadou Camara  Youssef Mehri…

Read More