
SINGIDA BLACK STARS HESABU ZAKE KWA SIMBA SC
UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao zote ni kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba SC ambao ni mzunguko wa pili. Singida Black Stars kwenye msimamo wa ligi ipo nafasi ya nne ikiwa imekusanya jumla ya pointi 53 inatarajiwa kumenyana na Simba SC iliyo nafasi ya…