
ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI
INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…