HII HAPA ORODHA YA WAKALI WA KUCHEKA NYAVU

WACHEZAJI ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora wanapambana katika kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Kwenye eneo la ufungaji kuna wakali katika kucheka na nyavu hapa tunakuletea orodha yao namna hii:- Jean Ahoua-15 Jean Ahoua  kiungo mshambuliaji wa Simba SC yeye ni namba moja akiwa katupia…

Read More

ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…

Read More

SIMBA HAWAJAKATA TAMAA KIMATAIFA, KAZI INAENDELEA

SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba SC na beki wa kikosi hicho ameweka wazi kuwa wanatambua wamepoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane lakini watapambana kupata matokeo mchezo wa pili. Ikumbukwe kwamba Mei 17 2025 kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya kwanza uliochezwa nchini Morocco…

Read More

GATES OF OLIMPIA SASA NDANI YA MERIDIANBET – JIANDIKISHE KWENYE HISTORIA YA WASHINDI

Meridianbet imezindua mchezo mpya wa sloti ambao kila mchezaji lazima aujaribu! Karibu kwenye GATES OF OLIMPIA, sloti ya kusisimua kutoka Expanse Studios, ambapo kila mzunguko wa reels unafungua lango la bahati, zawadi, na utukufu wa kipekee. Mchezo huu ni mzigo kamili kwa mashabiki wa sloti, wale wanaopenda ushindi wa haraka, na watu wanaotafuta njia rahisi…

Read More