VIDEO: BOSI SIMBA AMTAJA CLATOUS CHAMA/ JOSHUA MUTALE

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kiungo Joshua Mutale ambaye alicheza kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania amerejea kwenye ubora ambao alikuwa nao muda mrefu lakini ulikuwa unakosekana. Kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Mei 5 2025 alikuwa kwenye kiwango bora jambo lililochangia timu hiyo kupata…

Read More

KIUNGO MGUMU AREJEA KIKOSI YANGA

 KHALID Aucho kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda alipopata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ilikuwa ni Aprili 7 2025 Aucho aliumia alishindwa kukomba dakika 90 aliishia dakika ya 45 ambapo nafasi yake ilichukuliwa na kiungo Mudathir Yahya. Kwenye mchezo huo…

Read More