Skip to content
April 22, 2025
  • KOCHA WA HARAMBEE STARS, BENNI MCCARTHY, APIGIWA CHAPUO KURUDI ORLANDO PIRATES
  • SIMBA KUELEKEA AFRIKA KUSINI KESHO KULINDA USHINDI WAKE DHIDI YA STELLENBOSCH
  • UFAHAMU MCHEZO WA ROULETTE KWA UNDANI IWE RAHISI KUSHINDA
  • UNAZIFAHAMU HADITHI ZA ALFU LELA ULELA? CHEZA MCHEZO HUU WA KASINO UFURAHIE MAOKOTO

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • April
  • 22

April 22, 2025

  • Sports

KOCHA WA HARAMBEE STARS, BENNI MCCARTHY, APIGIWA CHAPUO KURUDI ORLANDO PIRATES

Saleh10 minutes ago01 mins

Kocha wa Timu ya soka ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ Benni McCarthy amepigiwa upatu kuwa Kocha wa Klabu yake ya zamani. Kocha wa Harambee Stars ameibuka miongoni mwa majina yanayohusishwa na nafasi ya Ukocha katika miamba ya Afrika Kusini Orlando Pirates. Gwiji huyo wa Bafana Bafana amehudumu miezi michache tu tangu ateuliwe kuwa Kocha…

Read More
  • Sports

SIMBA KUELEKEA AFRIKA KUSINI KESHO KULINDA USHINDI WAKE DHIDI YA STELLENBOSCH

Saleh34 minutes ago01 mins

Klabu ya Simba Sc imetangaza kuwa kikosi cha wachezaji 23 cha timu hiyo kitaondoka kesho asubuhi kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Stellenbosch. Kikosi hicho kitaondoka na Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ikipitia Johannesburg…

Read More
  • Sports

UFAHAMU MCHEZO WA ROULETTE KWA UNDANI IWE RAHISI KUSHINDA

Saleh13 hours ago8 minutes ago04 mins

Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezo wa Roulette ambapo yeye binafsi alikuwa akifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzake wanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. Jamaa alifariki akiwa na miaka 80 na kwa namna ya kipekee mchango wake kwenye ulimwengu wa michezo ya Kamari anakumbukwa. American Roulette sawa na michezo mingine ya Roulette unapatikana Meridianbet…

Read More
  • Sports

UNAZIFAHAMU HADITHI ZA ALFU LELA ULELA? CHEZA MCHEZO HUU WA KASINO UFURAHIE MAOKOTO

Saleh14 hours ago43 minutes ago05 mins

Zamani kulikuwa na utaratibu na utamaduni wa kusimuliana hadithi, mababu na bibi zetu walikuwa ndiyo vinara wa kutoa stori za kale zenye kufurahisha na kufunza pia, lakini miaka ya hivi karibuni mambo hayo hakuna, lakini kuna mitandao ya kijamii watu wengi wanapata stori na hadithi huko. Kuna hadithi nyingi za kale nzuri kama Sungura na…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.