MASHUJAA WAENDELEZA USHUJAA, COASTAL WAKIWASHA

MSAKO wa pointi tatu umezidi kuwa mkali kwa wababe wanaoshuka uwanjani ndani ya uwanja katika Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, huku Mashujaa wakiwa ni Mashujaa mbele ya Tabora United na Coastal Union wakianza kwa kasi uwanja wa nyumbani, ngoma ilikuwa ni Aprili 10 2025. Wakiwa Uwanja wa Mkwakwani baada…

Read More

SIMBA YAINGILIA SHOW YA YANGA

SIMBA yaingilia show ya Yanga ambayo inaongoza Ligi Kuu Bara namba nne kwa ubora Afrika ikiwa na pointi 67 baada ya kucheza mechi 25 msimu wa 2024/25, Aprili 10 2025 ilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Azam FC kwenye mchezo uiochezwa Uwanja wa Azam Complex kwa ushindi wa mabao 2-1.

Read More