SIMBA YAINGILIA SHOW YA YANGA

SIMBA yaingilia show ya Yanga ambayo inaongoza Ligi Kuu Bara namba nne kwa ubora Afrika ikiwa na pointi 67 baada ya kucheza mechi 25 msimu wa 2024/25, Aprili 10 2025 ilisepa na pointi tatu mazima mbele ya Azam FC kwenye mchezo uiochezwa Uwanja wa Azam Complex kwa ushindi wa mabao 2-1.

Read More