YANGA YAIVUTIA KASI COASTAL UNION

BAADA ya kumalizana na Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kituo kinachofuata kwa Yanga ni Coastal Union. Aprili 2 2025 ubao ulisoma Tabora United 0-3 Yanga, mabao ya Israel Mwenda kwa pigo la faulo, Clement Mzize na Prince Dube yaligota mpaka mwisho wa dakika 90. Yanga ni…

Read More