
ORODHA YA WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU BONGO HII
KWENYE kasi ya kuwania kiatu cha ufungaji bora kuna vita mpya msimu wa 2024/25 kukiwa na balaa zito kutokana na kila mchezaji kuwa na nyota kweye kucheka na nyavu ndani ya ligi kuu bara ambayo ni namba nne kwa ubora. Ipo wazi msimu wa 2023/24 ni Aziz Ki wa Yanga alikuwa mfungaji bora na mabao…