SALEH JEMBE AWATOLEA UVIVU YANGA – ASHANGAA KWENDA CAS – ”WAKIONGOZA LIGI BODI INAFANYA VIZURI”
Mchambuzi wa soka nchini, Saleh Jembe ameeleza kuwa klabu ya Yanga SC wanapaswa kufuata utaratibu maalum katika uwasilishwaji wa malalamiko kuhusu Derby.
Mchambuzi wa soka nchini, Saleh Jembe ameeleza kuwa klabu ya Yanga SC wanapaswa kufuata utaratibu maalum katika uwasilishwaji wa malalamiko kuhusu Derby.