PRINCE DUBE AMKIMBIZA ATEBA

MWAMBA Prince Dube mshambuliaji wa Yanga amemkimbiza kwenye suala la kucheka na nyavu mshambuliaji wa Simba, Leonel Ateba. Wakali hawa wamekuwa na mwendelezo wao kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja huku Prince Dube akiwa nyota aliyeanza kwa kusuasua kabla ya gari kuwaka kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ateba alianza…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA MAPAMBANO YANAENDELEA

CHADRACK Boka beki wa kikosi cha Yanga ambao ni vinara wa ligi amebainisha kuwa ligi ya Tanzania ni ngumu jambo ambalo linawafanya wazidi kupambana kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Boka ndani ya ligi kafunga bao moja ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba katika mchezo huo alipachika bao hilo…

Read More

SILAHA ILIYOWAANGAMIZA SIMBA KARIAKOO DABI YAFUNGUKA

NYOTA wa Yanga Princess, Jeannine Mukandayisenga muuaji wa Simba Queens kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa KMC Complex amefichua siri kuwa walipewa maelekezo na benchi la ufundi lialoongozwa na Edna Lema namna ya kuuvunja ukuta wa Simba. Ushindi wa Yanga Princess unavunja rekodi ya kukwama kupata pointi tatu kwenye mechi tanoambazo ni dakika…

Read More

WACHEZAJI SIMBA WABEBESHA ZIGO LA LAWAMA

KOCHA wa Simba Queens, Yassif Basigi amelia na wachezaji wake kushindwa kutumia nafasi za wazi ambazo walizipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi Ligi ya Wanawake ndani ya dakika 90 ambazo walizipata. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex Machi 18 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess ambapo katika dakika…

Read More