GAMOND AACHANA NA AL NASR YA LIBYA KISA MSHAHARA

Miguel Gamondi Aachana na Al Nasr SC Libya Kwa Sababu ya Malipo Ya kutolipwa mshahara na marupurupu mengine Miguel Gamondi, kocha wa soka mwenye umri wa miaka 58, ameamua kuachana na klabu ya Al Nasr SC ya Libya kwa sababu ya klabu hiyo kushindwa kulipa mishahara na ada zake. Gamondi alijiunga na klabu hiyo mnamo…

Read More

KIBU D ALIYEYUSHA MWAKA BILA KUFUNGA BONGO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis ambaye ni maarufu kwa jina la mkandaji alipitisha mwaka mzima bila kufunga ndani ya ligi kwenye mechi za ushindani ambapo mara ya mwisho alifanya hivyo msimu wa 2023/24 jambo ambalo lilikuwa ni gumzo kubwa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye ni chaguo la kwanza katika kikosi cha Simba kinachonolewa na…

Read More

KOCHA YANGA KWENYE HESABU NDEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba ndani ya Februari kocha huyo ametwaa tuzo ya kocha bora baada ya kuwashinda wawili aliongia nao kwenye fainali ya kumtafuta kocha bora. Katika mechi…

Read More