KIBU AFUNGUKIA TUZO YAKE BONGO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis maarufu kwa jina la mkandaji amechekelea kutwaa tuzo yake ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara namba nne kwa ubora Afrika baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa KMC Complex. Ikumbukwe kwamba Machi 14 2025 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja…

Read More

KIUNGO WA KAZI ANASEPA YANGA

INATAJWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana na uwezo alionao. Ni Aziz Ki ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi kwenye eneo la kiungo akiwa ni mkali kwenye mapigo…

Read More

HAMISA MOBETTO ALIPUKA: “NIMECHOKA, NAOMBENI MNIACHE!”

Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu, Hamisa Mobetto, ambaye pia ni mke wa nyota wa klabu ya Yanga SC na raia wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, amefunguka kwa uchungu kupitia ‘insta stories’ baada ya kuchoshwa na maneno ya watu mitandaoni. Kupitia ujumbe aliouchapisha, Hamisa ameonyesha kuchoka na mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa watumiaji wa…

Read More