HIKI HAPA KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA

DODOMA Jiji watakuwa na kazi yakusaka pointi tatu dhidi ya Simba kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC huku nyota Abdi Banda na Ibrahim Ajibu wakianzia benchi. Ni Ngeleka Katembua, Augustino Nsata, Apollo Onyango, Salmin Hoza, Mwana Kibuta, Dickson Mhilu, Daud Milandu, Mukrin Issa, Paul Obata, Reliants Lusajo, Paul Kasunda. Akiba ni Lulihoshi…

Read More

SIMBA KUWAKOSA MASTAA HAWA DHIDI YA DODOMA JIJI

WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa mzunguko wa pili kuna hatihati Simba ikakosa huduma ya beki wao wa kazi na kiungo namba moja kwenye kutengeneza mabao. Ni beki Che Malone huyu hayupo fiti alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC alipokwama kukomba dakika 90 wakati ubao…

Read More

DUBE NA MILOUD WAMEKIMBIZA KWA FEBRUARI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekimbiza ndani ya Februari kwa kusepa na tuzo kutoka Ligi Kuu Bara wote wakiwa wanatokea Jangwani. Ndani ya Februari kwenye mechi tano rekodi zinaonyesha kuwa Dube alihusika kwenye mabao matano na alifunga matano hivyo akahisika mojamoja kwenye mchango wa mabao 10. Ni mechi 7 alicheza…

Read More